News / Sports / Twiga 2 Wabunge 1, wanyakua mil 10

image

Twiga 2 Wabunge 1, wanyakua mil 10

Comments ()
By dar411

Kikosi cha timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Wanawake Tanzania Twiga Stars, kimeibuka kidedea katika mchezo wake dhidi ya timu ya Muungano wa Wabunge, ambapo walifanikiwa kuwatungua kwa bao 2 kwa 1, na kisha kuzawadiwa Tsh milioni 10 zilizotokana na michango ya Wabunge hao wa Bunge la Jamhuri. image

full article

 

Submit Comments / Testimonials






 
image
image
This text will be replaced
image