Top Stories - Local News
-
Stanbic Bank offers support for Amana Hospital Editor - May, 2012
Ms Desideria T. Mwegelo (left) Marketing Manager for Stanbic Bank handling
mosquito nets to Doctor in charge at Amana Hospital Shaany Mwaruka (right), as the bank’s donation to help the patients in… More » -
Raisi azindua tovuti ya CCM, ahimiza uadilifu Editor - May, 2012
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Raisi Jakaya Mrisho Kikwete, sambamba na Katibu Mwenezi Nape Nnauye na viongozi wengine wa chama hicho wakati wa uzinduzi wa tovuti… More »
-
Simba chali, wauza ushindi Uarabuni Editor - May, 2012
Licha ya tambo za mabingwa wapya wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Simba juu ya kushinda kwa kishindo huko Sudani, hali imebadilika na kuwa huzuni tupu, baada ya mabingwa hao kuuza hazina yao ya mabao 3 bila walipokubali… More »
-
68% ya waliomaliza la saba Mtwara hawajui kusoma Editor - May, 2012
Uongozi na Wadau wa elimu mkoani Mtwara umelazimika kuitisha mkutano wa dharura, kujadili hatma ya maendeleo ya elimu mkoani hapo, baada ya kubainika kwamba elimu hiyo haina msaada kabisa kwa watoto wao. More »
-
Waziri mpya wa fedha aanza kusaini misaada Editor - May, 2012
waziri wa fedha na uchmi Dr William Mgimwa na muakilishi wa Umoja wa
Ulaya Filbero Cerini Sebreg, wakitiliana saini ya misada ya fedha kwa
miradi mbalmbali ya maendeleo na kijamii nchini, uliofnyika jijini… More » -
Sudani Kusini watua Dar, waomba msaada Editor - May, 2012
Spika wa Jamhuri ya Serikali ya Sudan Kusini, Jenerali James Wani Igga (kushoto), akiongea na waandishi wa habari jijini Dae es Salaam leo asubuhi juu ya mgogoro wa nchi yao na Sudan Kaskazini.Kulia ni Spika wa Bunge… More »
-
Lowasa atinga Monduli kuzima uasi CCM Editor - May, 2012
Wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Monduli mkoani Arusha, waliokihama chama hicho wakionyesha mabango ya kupinga hali ya mambo ndani ya chama hicho. More »
-
Gharama za simu kushuka tena zaidi Editor - May, 2012
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA, imetangaza kutathmini namna ya kupunguza kodi katika mampuni ya simu za mikononi nchini, kwa lengo la kushusha gharama za watumiaji wa chini, yaani wananchi. More »
-
Pinda ahofia vuguvugu la mabadiliko ya siasa nchini Editor - May, 2012
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Mwenge wa Uhuru kiongozi wa
Mbio za Mwenge huo mwaka huu Kapteni Ernest Mwanosa baada ya kuuwasha katika uzinduzi wa
mbio hizo uliofanyika katika uwanja wa Sokoine… More » -
Kongwa Cereal Growers granted 100,000 Dollars Editor - May, 2012
The Tanzania Country Program Coordinator for the U.S African Development Foundation Godfrey Kassanga (left) presenting an official grant document to the Chairman of Kongwa Cereals Growers Association Jeremiah Mwimbe… More »

















