Top Stories - Entertainment
-
Mkono wa Sugu, Ruge watazamwa kwa husda Editor - Feb, 2012
Nyota mashuhuri wa muziki nchini na Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (wa pili kushoto) na mkurugenzi wa kampuni ya Clouds Media Rugemalila Mutahaba, wakati walipokuwa wakipeana mikono kumaliza tofauti… More »
-
Sugu na Ruge Sasa Safiiiii manny - Feb, 2012
Ule Ugomvi mkubwa ambao ulitawala katika tasnia ya Muziki kiasi kwamba kufikia mahala pabaya, hatimaye umemalizika rasmi leo.
Alikuwa ni Waziri wa Vijana... More » -
Mawazo - Diamond - Exclusive manny - Feb, 2012
Mwanamuziki aliyeko kwenye Level za Juu kwasasa Naseeb Hamis a.k.a Diamond ameachia ngoma yake ya Mawazo baada ya wapenzi wengi kuisubiri kwa muda mrefu.
Diamond Platinum alisema ameachia ngoma .... More » -
Prof Jay alipuka, ni albamu ya ‘JAYSCO DAGAMA’ Editor - Feb, 2012
Profesa Jay akiwa katika pozi la ufukweni pamoja na baadhi ya vimwana (models) waliotumika katika shooting yake ya kibao cha ‘Kamili Gado’ kwenye fukwe za Kunduchi Beach Hotel Alhamisi ya wiki iliyopita. Picha:… More »
-
Valentine Day, wahanga wa fistula wachangiwa Editor - Feb, 2012
Wafanyakazi na watendaji wa Kampuni ya simu za mikononi Vodacom Tanzania, wakiwa katika hafla ya Sherehe za siku ya Wapendanao duniani leo, zilizofanyika katika ofisi zao mpya zilizoko eneo la Mlimani City jijini Dar… More »
-
Mr Blue afukuzwa kundini, kutinga mahakamani dar411 - Feb, 2012
Mmomonyoko katika makundi ya Wanamuziki wa kizazi kipya nchini Bongo Flavor umeendelea kukisakama kizazi hicho, baada ya kundi la ‘Micharazo’ kutangaza kumuengua kundini nyota wake mahihiri Heri Sameer Rajab maarufu… More »
-
Diamond sokoni tena na “lala salama” dar411 - Jan, 2012
Nyota wa muziki wa kizazi kipya jijini Dar es Salaam Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’, ametangaza rasmi kushusha Albam Mpya sokoni inayofahamika kwa jina la “Lala Salama”, ikiwa na jumla ya nyimbo 10 huku akiahidi… More »
-
Mwakyembe ammaliza Mganda kwa pointi 99 dar411 - Dec, 2011
Hatimaye vuta nikuvute baina ya wanamasumbwi Benson Mwakyembe kutoka Mbeya Tanzania na Mustapha Katende kutoka nchini Uganda imekwisha, baada ya Mwakyembe kufunga mwaka kwa kumtandika Mganda huyo kwa pointi 99 dhidi… More »
-
Mwakyembe kuzichapa na Mganda Boxing Day dar411 - Dec, 2011
Bondia mashuhuri nchini hususani ukanda wa nyanda za juu Kusini Benson Mwakyembe, anatarajiwa kupanda ulingoni Desemba 26 wiki ijayo kumvaa mwanamasumbwi kutoka Uganda Mustapha Katende, katika mchuano Super Middle… More »
-
Vazi rasmi la Taifa, sasa wananchi kuamua dar411 - Dec, 2011
Baada ya Wabunifu mbalimbali kutoa mapendekezo yao juu ya aina ya vazi rasmi la Kitanzania, mchakato huo sasa umeelezwa kupelekwa kwa wananchi, kwa ajili ya kupata maoni yao kupitia kwa kamati maalumu iliyoundwa. More »


















