Top Stories - Local News
-
Minister’s sudden visit shocks Officials in Kigoma Editor - Feb, 2012
Director for Kigoma Municipality Protas Kato (center, pointing a hand), giving explanation to The Minister of State in the Vice President’s Office Environment Therezya Huviza (center), during her visit in Kigoma… More »
-
Nyumba 325 zachomwa moto Monduli Editor - Feb, 2012
Machafuko katika jamii za wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha yameendelea kushika kasi, baada ya nyumba zipatazo 325 za wanakijiji kuteketezwa moto na watu wasiojulikana, kufuatia kile kilichoelezwa kugombea mpaka. More »
-
Ajali ya Daladala yaua wawili Dar es Salaam Editor - Feb, 2012
Hospitali ya Temeke leo imeghubikwa na simanzi ya vilio kufuatia ajali mbaya ya daladala iliyotokea katika barabara ya Kilwa kwenye eneo la Mtoni Mtongani jijini Dar es Salaam, ambapo gari la abiria maarfu kama daladala… More »
-
Tatizo la maji lazidi kutikisa jiji la Dar Editor - Feb, 2012
Wakina mama wakiwa wamebeba maji kutoka umbali mrefu kwa ajili ya shughuli zao katikati ya jiji la Dar es Salaam kwenye barabara ya Kivukoni, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. PICHA: ROMI
More » -
Mabasi ya Mwenge-Tegeta yabadilisha njia (route) Editor - Feb, 2012
Baadhi ya abiria wa kuelekea Tegeta na Bunju wakisubiri kwa shauku kupata usafiri katika kituo cha mabasi cha Mwenge jijini Dar es Salaam leo asubuhi. PICHA: ROMI
More » -
Iran sends envoy for cultural matters in Tanzania Editor - Feb, 2012
The Iranian ambassador to Tanzania Movahhedi Ghomi (center) giving explanation to the Minister for Information, Culture, Youth and Sports Dr Emmanuel Nchimbi (left) during their meeting at the Minister’s office in… More »
-
Serikali kuokoa bil 1 kwa chanjo ya mifugo Editor - Feb, 2012
Serikali imetangaza kuendesha zoezi la chanjo ya mifugo hapa nchini, kwa lengo la kukabiliana na ugonjwa wa ‘Ndigana’ pamoja na maradhi mengine yanayoathiri mifugo, zoezi litakalookoa gharama kubwa inayotumika… More »
-
PM Pinda arrives Shinyanga for an official visit Editor - Feb, 2012
Prime Minister Hon Mizengo Kayanza Peter Pinda (right) arrives at Mwandosya village in Meatu District of Shinyanga, greeting officials of the district. PHOTO: ROMI More »
-
Waziri akagua miradi ya Serikali kuu Unguja Editor - Feb, 2012
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa mjasiriamali Mwajuma Mwinyi kuhusu Matumizi ya Mwani wa Baharini ambao hutengenezea sabuni ya kuogea. PICHA:ROMI
More » -
Askari usalama amvaa mwendesha baiskeli Editor - Feb, 2012
Polisi wa kikosi cha usalama barabarani akipambana na mwendesha baiskeli aliyedaiwa kukaidi amri na maelekezo ya usalama barabarani katika eneo la Mbuyuni Kinondoni jijini Dar es Salaam leo asubuhi. PICHA: ROMI
More »

















