News / Politics

image Top Stories - Politics
  • image
    CUF kwawaka, Hamad afukuzwa dar411 - Jan, 2012

    Mkutano wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Wananchi CUF umefanyika hii leo visiwani Zanzibar, ukiwa na ajenda kuu ya kujadili kile kilichoelezwa baadhi ya wajumbe wake kukihujumu chama kwa kuongozwa na Mbunge wa Wawi… More »

  • image
    Hatma ya Hamad Rashid CUF mashakani dar411 - Dec, 2011

    Mgogoro baina ya Mwenyekiti wa zamani wa kambi ya upinzani Bungeni na mbunge wa Wawi Zanzibar Hamad Rashid Hamad na Katibu mkuu wa CUF Taifa Maalim Seif Shareef Hamand umefikia pagumu, baada ya Kamati ya Maadili ya… More »

  • image
    Matokeo DRC tete, maandamano yaanzia London dar411 - Dec, 2011

    Wasiwasi umetanda upya katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, baada ya upinzani kupinga matokeo ya uraisi uliotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo Ijumaa iliyopita, kwa madai kuwa ulijaa udanganyifu… More »

  • image
    Sudan Kusini ruksa EAC, kutumia Kiswahili dar411 - Dec, 2011

    Siku chache baada ya Shirikisho la Jumuiya ya Afrika Mashariki kukataa ombi la Serikali ya Sudani Kaskazini kujiunga Jummuiya hiyo, upepo umekuwa tofauti kwa Sudan ya Kusini iliyojipatia uhuru hivi karibuni, baada… More »

  • image
    Vurugu zatanda uchaguzi wa Congo, 3 wafa dar411 - Nov, 2011

    Kiasi cha wananchi milioni 35 waliojiandikisha kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa viongozi mbalimbali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, walianza kuingia vituo vya kupigia kura hapo jana, na kendelea tena hii leo… More »

  • image
    Mukama atoboa siri za kikao CC Dodoma dar411 - Nov, 2011

    Suala lililoteka vyombo vya habari ambalo ni moja ya maazimio yaliyotajwa, ni sakata la ‘gamba’ ambapo Mukama amefafanua: “kupitia heshima ya Mwenyekiti wa Chama (Raisi Jakaya Kikwete), viongozi waliohusishwa… More »

  • image
    Polisi yazuia maandamano yote ya Katiba dar411 - Nov, 2011

    Jeshi la Polisi nchini leo limetangaza kusitisha vibali vyote vya maandamano vilivyoombwa na taasisi mbalimbali, juu ya suala la mabadiliko ya mswada wa katiba mpya uliopitishwa bungeni hivi karibuni mjini Dodoma. More »

  • image
    Usiri watawala mkutano wa CCM Dodoma dar411 - Nov, 2011

    Hata hivyo wakati wa mapumziko mafupi, Katibu wa itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye amelazimika kukutana na vyombo vya habari kwa muda mfupi, na kukanusha vikali taarifa zilizoenea kwamba baadhi ya vigogo wa chama hicho… More »

  • image
    JK afungua kikao NEC, Nape aonya dar411 - Nov, 2011

    Wakati Raisi Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Chama tawala cha Mapinduzi CCM akifungua mkutano wa Kamati kuu ya chama hicho Dodoma, Katibu mwenezi Nape Nnauye amewataka Watanzania kuwa watulivu na waondoe… More »

  • image
    Hatimaye mswada wapitishwa bila CHADEMA, NCCR dar411 - Nov, 2011

    Licha ya pingamizi kubwa lililowekwa na vyama vya CHADEMA na NCCR Mageuzi juu ya kutosomwa kwa mswada wa katiba kwa mara ya pili na badala yake usomwe mara ya kwanza, mswada huo umepitishwa leo na bunge lililosheheni… More »

image
Q Bar → Msasani Peninsular
image
Treasures of Africa → Chole Road, Masaki, Dar es Salaam
image
Dancehall Thursday → Runway Club & Lounge Shoppers Plaza
 
image
image
This text will be replaced
image