Top Stories - Sports
-
TFF yaitiwa TAKUKURU, Mara kuandamana dar411 - Oct, 2011
Wadau wa soka mkoani Mara, wameanza kuandaa maandamano makubwa kuzunguka mkoa mzima, kupinga hatua ya TFF kuengua jina la mgombea wake Michael Wambura katika king’ang’anyiro cha uenyekiti wa soka kanda ya mkoa… More »
-
Moro kumekucha Chamazi, Azam chali dar411 - Oct, 2011
Kikosi cha Wanatamatamu Mtibwa Sugar kimeng’ara vilivyo leo katika dimba lake la Manungu Turiani Morogoro, baada ya kuwagagadua matajiri wa jiji la Dar es Salaam Azam FC kwa bao 1 kwa nunge, huku Moro United ikiwasha… More »
-
Simba vs Yanga Jumamosi, Timbe atimuliwa dar411 - Oct, 2011
“Uongozi wa Yanga na Kamati ya Ufundi wamekaa na kuangalia mambo mengi yaliyofikia uamuzi wa kumrudisha Pipic” amebainisha msemaji wa Yanga Luis Sendeu na kuongeza mojawapo ya vitu vilivyoangaliwa ni mechi za Kimataifa… More »
-
Villa, Coastal Union waua, Mtibwa-Azam kesho dar411 - Oct, 2011
Ligi kuu ya soka ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea tena hii leo ambapo watoto wa mjini Villa Squad imeivaa African Lyon jioni ya leo na kupokea kichapo cha goli 3 kwa 2, huku Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga… More »
-
Stars yaporomoka tena FIFA, sasa ni ya 131 dar411 - Oct, 2011
Shirikisho la Kandanda nchini TFF, limetangaza kusikitishwa kwake kutokana na kuporomoka tena kisoka katika viwango vya FIFA, ambapo imeshuka kutoka nafasi ya 127 na kufikia 131. More »
-
Ruvu Shooting kipimo kingine kwa Simba leo dar411 - Oct, 2011
Vinara wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara Simba, wanakabiliwa na kibarua kingine cha kupima ubora wao katika ligi, watakapokumbana na Ruvu Shooting Stars katika dimba la Chamazi Mbagala jijini Dar es Salaam. More »
-
“Kidiaba” kipa wa Samata apata pigo dar411 - Oct, 2011
Akiwa na nywele zilizosukwa mfano wa ushungi wa ndege nyuma ya kichwa chake, "Kidiaba" hushangilia ushindi kwa kurukaruka mithili ya chura, lakini kwa kutumia makalio, huku mikono ikipepea. More »
-
Kombe la Dunia, Stars- Chad Novemba 3 dar411 - Oct, 2011
Mechi za mchujo kujiandaa kwa mashindano ya Kombe la Dunia yatajayofanyika nchini Brazili mwaka 2014, zinatarajiwa kuanza hivi karibuni, ambapo kikosi cha timu ya soka Taifa Stars kinatarajiwa kuanza kazi na Chadi. More »
-
Walioihujumu Villa Squad wakiri, warejeshwa rumande dar411 - Oct, 2011
“Wote walikubali kosa na kukiri kucheza chini ya kiwango” ni taarifa ya leo ya msemaji wa Klabu ya Villa Squad Jumanne Matipa alipokuwa akitoa majibu ya Kamati ya Nidhamu ya Klabu hiyo iliyokaa na wachezaji hao… More »
-
Kamati Simba zatajwa, Rage amgeukia Yondani dar411 - Oct, 2011
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba na Mbunge wa jimbo la Tabora mjini Muhidini Alhadji Ismael Aden Rage, ametangaza majina ya Kamati mbalimbali za uongozi wa Klabu hiyo leo, na kuzungumza na vyombo mbalimbali vya habari… More »















