Sugu na Ruge sasa mambo safii
Ule Ugomvi mkubwa ambao ulitawala katika tasnia ya Muziki kiasi kwamba kufikia mahala pabaya, hatimaye umemalizika rasmi leo.
Alikuwa ni Waziri wa Vijana... 

Ule Ugomvi mkubwa ambao ulitawala katika tasnia ya Muziki kiasi kwamba kufikia mahala pabaya, hatimaye umemalizika rasmi leo.
Alikuwa ni Waziri wa Vijana, Michezo na Utamaduni Emmanuel Nchimbi na Mbunge wa Singinda Vijijini Tundu Lissu waliofanya kazi katika kufanikisha kupatikana kwa muafaka huo.
Kikao hicho cha siri kubwa kilifanyika sehemu ya siri, lakini mara baada ya muafaka kufikiwa waliamua kuweka wazi kwa waandishi wa Habari.
Top Stories »





