Home | Dar-es-Salaam weather Partly Cloudy and 25 C Dar-es-Salaam weather
RSS News
Entertainment

In this section you can find out the latest news
and gossip in Bongo, the hottest music videos from
your favorite artists and from a few up and coming acts,
what celebrities got up to while they were at school,
the latest street words, and what's happening in your
favorite soap opera.

Entertainment

Mgosi ajiunga na kambi ya Simba
Kikosi cha timu ya Simba kilichopo katika maandalizi ya kujiweka sawa kwa ajili ya mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kimethibitisha kuwasili kambini leo kwa mshambuliaji wake wa kutumainiwa Musa Hssan Mgosi aliyekosa mazoezi ya awali ya timu hiyo.

Akizungumza na Wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Msemaji Mkuu wa timu hiyo Clifford Ndimbo amesema kwa sasa wachezaji waliosalia ambao bado hawajaripoti ni watatu tu, ambao ni Emmanuel Okwi, Joseph Owino na Patrick Ochwan.

Aidha katika hatua nyingine uongozi wa kamati kuu ya Klabu hiyo ya Simba unategemewa kukutana katika mkutano wa dharura kujadili suala la Kocha Mkuu wa timu hiyo Patrick Phiri ambaye bado hajawasili katika kikosi hicho, akiwa safarini nyumbani kwao Zambia.

Reviews


Comment Preview

Name:

Email: 

Smileys

Remember my personal information
Notify me of follow-up comments?


Submit the word you see below:



Live Music

This text will be replaced by the flash music player.