Home | Dar-es-Salaam weather Partly Cloudy and 25 C Dar-es-Salaam weather
RSS News
Entertainment

In this section you can find out the latest news
and gossip in Bongo, the hottest music videos from
your favorite artists and from a few up and coming acts,
what celebrities got up to while they were at school,
the latest street words, and what's happening in your
favorite soap opera.

Entertainment

Yanga walamba sukari ya Wanatamtamu
Mabingwa watetezi wa Kombe la Vodacom Ligi kuu Tanzania Bara Yanga wameshusha kichapo cha mwaka na kuibua kilio kwa Wanaturiani Mtibwa Sugar wa mji kasoro bahari Morogoro, katika mchezo uliopigwa jioni ya leo.

Mabingwa hao wa Jangwani wamejipatia mabao matatu dhidi ya moja la Mtibwa licha ya wapinzani wao hao Mtibwa kumiliki vizuri mchezo huo kuwapita Yanga. Mtibwa wamepoteza nafasi nyingi za wazi lakini wapinzani wao wamezitumia zao vilivyo.

Yanga wako katika maandalizi ya michuano ya Kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Lupopo ya Congo itakayochezwa siku chache zijazo.

Mchezo mwingine wa Ligi kuu utapigwa hapo kesho ambapo vinara wa Ligi hii Wekundu wa Msimbazi Simba wataivaa Manyema FC katika mchezo ambao baadhi ya wachezaji wa Simba waliokuwa majeruhi wamerejea kikosini huku wengine wakijiandaa kuanza mazoezi baada ya kupona majeraha.

Reviews


Comment Preview

Name:

Email: 

Smileys

Remember my personal information
Notify me of follow-up comments?


Submit the word you see below:



Live Music

This text will be replaced by the flash music player.